Author: Jamhuri
Dk Biteko ampa pole Rais Mwinyi, ashiriki mazishi ya kaka yake
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameungana na mamia ya waombolezaji kutoa pole kwa familia ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi…
Majaliwa: Samia ametuondolea changamoto Ruangwa
Na Kulwa Karedia,JamhuriMedia,Ruangwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasimu amesema changamoto nyingi zilizokuwepo ndani ya Wilaya Ruangwa zimepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka fedha nyingi katika sekta mbalimbali. Majaliwa ametoa kauli hiyo Septemba 24,2025 katika uwanja wa…
Trump :UN imeshindwa kuleta amani duniani
Rais wa Marekani Donald ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika kuleta amani ulimwenguni. Rais wa Marekani Donald Trump ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika…
Tume ya Madini yavunja rekodi ya upimaji sampuli kwa mwaka 2024/2025
Maabara ya Tume ya Madini imevuka lengo la upimaji sampuli za madini kwa mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2024/2025, baada ya kupima jumla ya sampuli 7684 dhidi ya lengo la 6,800. Hili ni ongezeko linaloashiria ufanisi mkubwa wa maabara…
Dk Samia ashiriki sala fupi na kuweka shada la maua kaburi la hayati Mkapa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki sala fupi na kuweka shada la maua katika kaburi la Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa. Dkt. Samia kabla ya kushirki sala…
Dk Nchimbi atinga Jimbo la Lupembe Njombe
Picha mbalimbali za matukio ya mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Lupembe, waliohudhuria mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni…





