Author: Jamhuri
148 mbaroni kwa ubakaji, ulawiti Arusha
Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha kupitia operesheni iliyofanyika kuanzia mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa limefanikiwa kuwakamata watumiwa 148 wa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji, ulawiti, dawa za kulevya na pombe ya moshi. Akitoa…
Kamati mpya ya ukaguzi Wizara ya Nishati yafanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani
📌 Yapongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopelekea Kamati husika kumshauri vyema…





