Author: Jamhuri
Dk Nchimbi apokea barua ya kazi wa Bukoba mjini mwenye ulemavu wa miguu
Mgombea mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akimsikiliza Mlemavu wa Miguu,Amos Kalungula. Dk.Nchimbi yuko mkoani Kagera ambako amewasili tangu jana na leo Septemba…
Mawe yaliyoko njia ya mkojo yavunjwa kwa teknolojia salama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo…
Dk Nchimbi atumia helkopta kusaka kura Kagera
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, leo Septemba 7, 2025, ameruka kwa helikopta akizisaka kura za kishindo za CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Balozi…
Serikali kuendelea kuwawezesha vijana
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma amesema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana katika kuhakikisha wanapata elimu itakayowawezesha kujiajiri na kuajirika. Akifunga mafunzo ya upambaji wa uso (make up) katika ukumbi wa Baytul…
Israel yaamuru Wapalestina kuondoka Gaza City
Jeshi la Israel limewataka Wapalestina kuondoka kwenye mji wa Gaza City na kuhamia katika eneo ambalo imesema ni “salama” kwao lililopo upande wa kusini. Amri hiyo ilitolewa wakati jeshi hilo linatanua kampeni ya kijeshi kwenye mji huo ulio mkubwa zaidi…





