JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia Dar es Salaam Mwenyekiti wa Cha Deokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa mahakamani kwa mara ya kwanza tangu kukamatwa kwake mapema Aprili, 2025. Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 baada ya kuitisha mageuzi ya uchaguzi na…

Tundu Lissu afikishwa mahakamani

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani leo Mei 19, 2025 kwa ajili ya kusubiri kutajwa kwa kesi mbili za jinai zinazomkabili ikiwemo uhaini na kuchapisha taarifa za uongo Lissu anakabiliwa na…

Joe Biden agunduliwa na saratani ya tezi dume

Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amepatikana anaugua saratani ya tezi dume. Inaripotiwa saratani hiyo imesambaa hadi kwenye mifupa yake. Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amegundulika kuwa na aina kali ya saratani ya tezi dume ambayo imesambaa…

Trump kuzungumza na Putin kuhusu kusitisha mapigano Ukraine

Rais wa Marekano Donald Trump anatarajiwa kuzungumza kwa njia ya simu mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, kuhusu usitishaji mapigani nchini Ukraine. Ni sehemu ya jitihada za muda mrefu kuvifikisha mwisho vita vya Ukraine. Viongozi wa Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia…