JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wizara ya Katiba na Sheria yatoa mafunzo ya uraia, utawala bora Mtwara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mtwara Ikiwa ni Wiki ya Sheria nchini, Wizara ya Katiba na Sheria imetoa Mafunzo ya Elimu ya Uraia na utawala Bora kwa viongozi na Watendaji wa Kata kwenye Halmashauri ya Mtwara vijijini na Mikindani. Akizungumza wakati akifungua mafunzo…

Mkutano wa Nishati Afrika (M300) kuchochea maendeleo ya Afrika

📌Dkt. Biteko asema utachochea utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Nishati 📌Ahamasisha uwekezaji katika Sekta ya Nishati 📌 WB, AfDB zampongeza Rais Samia kuwa Kinara Sekta ya Nishati 📌Lengo la Tanzania kuzalisha megawati 4,000 za umeme 📌Nishati safi ya kupikia…

Waziri Mhagama kwenye mkutano wa nishati  

Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama akikagua mabanda ya hospitali maalum zilizotengwa kwa ajili ya kuhudumia wageni wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati (Africa Energy Summit) unaofanyika kwa siku mbili…

Yaliyojiri leo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa viongozi wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati -Misheni 300

Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko Kama ilivyobainishwa katika Ajenda ya Afrika 2063 na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs), leo Dar es Salaam inayo heshima ya kuwa mwenyeji wa wajumbe kutoka Afrika na…