JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Arusha mwenyeji kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI vitisho vya kimtandao vinaendelea kutajwa kuongezeka duniani, Tanzania inaendelea na juhudi za kulinda miundombinu yake ya kidijitali, kwa kuandaa kwa mara nyingine Kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni. Kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika kwa…

TRA yavipongeza vyombo vya habari kuhamasisha wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevipongeza vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari nchini, kwa kuhamasisha wananchi hasa wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari,kujua umuhimu wa kudai risti wanaponunua bidhaa na wafanyabishara kutoa risti wanapouza bidhaa….

Dk Carreen Rose Rwakatale ahamasisha ujenzi nyumba ya Katibu wa Wazazi CCM

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro Dk. Careen-Rose Rwakatale amewataka viongozi wa (CCM) Wilaya mbalimbali mkoani hapa kuhakikisha wanajitoa katika ujenzi wa wa chama hawadhalilishwi kwa kufukuzwa kwenye nyumba za kupanga. Dk….

Mradi wa kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi – Biteko

 📌Asema ni ndoto ya Watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika 📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umeme 📌Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Misri kuuzindua rasmi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania…

Uongozi mpya TEF 2025 – 2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limekamilisha safu ya uongozi wa Kamati ya Utendaji (KUT), baada ya kupatikana mwenyekiti, Makamu mwenyekiti pamoja na wajumbe saba wa kamati tendaji. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Frank Sanga, alisema…