Author: Jamhuri
Wizara ya Afya yajivunia mafanikio Ymyake ikiwemo kupungua kwa vifo vya mama na mtoto na saratani
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya ni kupungua kwa vifo vinavyosababishwa na saratani kwa asilimia 78,Vifo vya mama na mtoto, Hali hiyo imechangiwa na…
Mfumo wa PFZ, Vua,Uza Nunua Samaki Kidigital wazinduliwa kuwezesha wavuvi
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Katika jitihada za kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya uvuvi Serikali imezindua mfumo wa kidigitali unaowezesha kutambua maeneo yenye samaki na kutoa taarifa za masoko. Mfumo huo ujulikanao kama ‘Potential Fishing Zone’ (PFZ) umebuniwa na Taasisi…
Ussi asisitiza amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi, amesisitiza umuhimu wa kuitunza na kuenzi amani, utulivu na upendo miongoni mwa Watanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akizindua bweni la wasichana…
Washindi sita wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ kutalii mbuga ya Serengeti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Benki ya CRDB imewapata washindi sita wa awamu ya kwanza wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ ambao wamejishindia safari ya kutalii mbuga ya Serengeti wakiwa na wenza wao. Kampeni hiyo ilizinduliwa Februari 13, mwaka huu, huku…
Balile : Rais Samia ameimarisha uhuru wa habari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha uhuru wa wanahabari. Pongezi hizo zimetolewa leo Aprili 4, 2025 na Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile wakati wa ufunguzi wa mkutano maalum wa…
Nchimbi : CHADEMA kususia uchaguzi ni haki yako
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea KATIBU Mkuu na Mgombea Mwenza Mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema kitendo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutaka kususia uchaguzi mkuu ni haki yao kisheria. Hayo ameyasemwa leo…