Author: Jamhuri
Watakia kuchukua vitambulisho vyao NIDA
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imetoa wito kwa wananchi kuchukua vitambulisho vyao baada ya kupokea ujumbe mfupi wa simu. Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji, amesema mamlaka imefanya maboresho makubwa katika mchakato…
Rais Samia, Dk. Nchimbi njia nyeupe Ikulu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Haijapata kutokea. Haya ni maneno aliyopenda kuyatumia aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Magharibi (CCM), Theodos James Kasapira. Nikiri nilipopewa mwaliko wa kuja hapa Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM, niliifahamu ajenda moja ya msingi ya…
Sakata la Abdul, Nimemkumbuka Ridhiwan Kikwete
Na Kambi Mbwana, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani nchini, leo kinafanya uchaguzi wa viongozi wao. Katika uchaguzi huu, nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake zimekuwa na joto kali. Wanaowania…
Kitima ana biashara gani CHADEMA?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na mgombea wa nafasi ya uenyekiti ndani ya chama hicho, Tundu Lissu, wakati wa mchakato wa kampeni zake amebainisha kuwapo kwa watumishi wa Mungu…