Author: Jamhuri
Marekani, China kuanza mazungumzo kuhusu vita vya kibiashara
MAAFISA wa Marekani na China wanatazamiwa kuanza mazungumzo wiki hii ili kujaribu kupunguza vita vya kibiashara kati ya mataifa hayo mawili yenye uchumi mkubwa duniani. Naibu Waziri Mkuu wa China He Lifeng atahudhuria mazungumzo hayo nchini Uswizi kuanzia tarehe 9…
India yaishambulia Pakistan kwa makombora
INDIA imefyetua makombora kadhaa ndani ya ardhi ya Pakistan mapema leo alfajiri na kusababisha vifo vya watu 8, katika mashambulizi yanayoweza kuzusha vita baina ya nchi hizo mbili jirani na hasimu wa miaka mingi. Mamlaka za Pakistan zimesema makombora ya…
Mvua yaleta maafa Moshi, watatu wafariki kwa kuagukiwa na nyumba wakiwa wamelala
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Moshi Watu watatu wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kubomoka kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kilimanjaro. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Godfrey…
Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye na kumtupa chooni Iringa
Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Iringa Jeshi la Polisi mkoni Iringa linamshikilia Joseph Yustino Mhilila mkazi wa mtaa wa Lukosi Kata ya Mtwivila kwa tuhuma za kumuua mtoto wake Timotheo Mhulikwa (6) aliyepotea tangu Aprili 1, 2025. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti…
BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea msimu wa tatu wa tuzo za michezo ambazo hutolewa kila mwaka kwa kuwathamini wanamichezo waliofanya vizuri kwa mwaka husika baraza la michezo la taifa(BMT) limesema kuwa tuzo hizo zinatarajiwa kuwa na…





