Author: Jamhuri
Aliyeandika vitisho kuhusu Padri Kitima akamatwa na Polisi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia na Kumhoji Frey Cossey (51) Mkazi wa Dodoma na Mbezi beach kwa kuchapisha vitisho kupitia mitandao ya kijamii, dhidi ya Katibu Mkuu wa…
TANROADS imekamilisha ujenzi wa Km 109. 49 za lami nchini – Waziri Ulega
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Serikali imekamilisha Ujenzi kilomita 109.49 za barabara nchini kwa kiwango cha lami huku ikiendelea na ujenzi wa Kilomita 275.51, hali kadhalika ujenzi wa madaraja matano (5) unaendelea na ujenzi wa madaraja mengine matano (5) upo…
Pakistan yafanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu
Pakistan imefanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu huku Iran ikimtuma waziri wake wa mambo ya nje kujaribu kuyapatanisha mataifa hayo mawili yenye silaha za nyuklia. Taarifa ya Pakistan iliyotolewa hivi leo imeeleza kuwa jeshi la nchi hiyo…
Netanyahu aapa kulipa kisasi baada ya kombora la Houthi
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kulipiza kisasi dhidi ya Wahouthi baada ya kombora lililorushwa na kundi hilo kupiga uwanja wa ndege wa Israel. Katika video iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii, Netanyahu alitishia kufanya shambulio akisema: “Tulishambulia siku za…
INEC yawataka wananchi kutumia siku zilizobaki kuboresha taarifa zao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imewataka wananchi wa mikoa 15 inayotekeleza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mzunguko wa kwanza wa awamu ya pili kuzitumia siku chache zilizobaki katika…
Rais Samia alipa bil. 539/- ukamilishaji daraja la JP Magufuli, mradi wakamilika asilimia 99
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedi, Dodoma Wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiingia madarakani mwaka 2021, ujenzi wa daraja la JP Magufuli (Kigongo – Busisi) mkoani Mwanza ulikuwa umefikia takribani asilimia 25 na kutokana changamoto za kutetereka kwa uchumi wa…




