Author: Jamhuri
Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa 6:00 mchana, siku ambayo Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump, ataapishwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, dunia itabadilika na kuwa na sura mpya….
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliyefutwa kazi akamatwa
RAIS wa Korea Kusini aliyeachishwa kazi Yoon Suk Yeol amekamatwa, kulingana na mamlaka, na kuweka kihistoria nchini humo. Yoon ambaye anachunguzwa kwa uasi ndiye rais wa kwanza aliye madarakani nchini humo kukamatwa. Baadhi ya wachunguzi waliingia katika makazi ya Yoon…
Jeshi la Ukraine lafanya shambulizi kubwa zaidi Urusi
Ukraine imeshambulia maeneo kadhaa ya Urusi siku ya Jumanne katika kile inachosema ni shambulio lake “kubwa zaidi” hadi sasa. Maghala ya kuhifadhia risasi na viwanda vya kemikali vilishambuliwa katika mikoa kadhaa, baadhi yao ikiwa mamia ya kilomita kutoka mpakani, kulingana…
Tanzania, Japan zajidhatiti kusaidia wakulima nchini
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimetia saini mkataba wa shilingi bilioni 377 kugharamia utelelezaji wa mradi wa Kilimo na Maendeleo Vijijini (Agriculture and Rural Development Two Step Loan) ambao umekusudiwa kuwanufaisha moja kwa moja wakulima kupitia mikopo midogo midogo. Mkataba…
Dk Kazungu ateta na balozi wa Tanzania Abu Dhabi
📌 Anadi miradi ya nishati kuvutia wawekezaji kutoka Abu Dhabi 📌 Ashiriki hafla ya ufunguzi wa Wiki ya uendelezaji Nishati Abu Dhabi na utoaji tuzo za umahiri 📌 Balozi wa Tanzania Abu Dhabi awataka watanzania kuchangamkia fursa za ajira Abu…
Tanzania iko tayari kwa mashindano ya CHAN na AFCON
Na Lookman Miraji Tanzania kwa kushirikiana na nchi jirani za Afrika mashariki za Kenya na Uganda zinategemea kuwa wenyeji wa michuano ya Afrika ya CHAN 2024 na AFCON mwaka 2027. Kwa upande wa Tanzania kupitia kamati ya maandalizi ya CHAN…