Author: Jamhuri
Mtendaji Kata ya Lionja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa
Na Mwandishi Wetu, Lindi Mnamo Septemba 18, 2025 katika mahakama ya wilaya ya Nachingwea limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 22689/2025 mbele ya Hakimu Mwandamizi Mkuu J.Mnguto, Jamhuri dhidi Seleman Ajibu Chimogo ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Lionja…
Vijana watakiwa kulinda amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wametakiwa kutambua nafasi yao katika kudumisha amani na usalama, hususan katika kipindi hiki ambacho Taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29. Wito huo umetolewa leo Septemba 20, 2025 jijini Dar es…
REA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita
📌Yaendelea kusambaza majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku 📌Wananchi waaswa kutembelea banda la REA kupewa elimu ya miradi ya umeme kwenye vitongoji na nishati safi 📌Geita waipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya…
Samia: Mwitikio Mbinga unaonyesha mko tayari
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia- Mbinga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema mwitikio wa wananchi wa Wilaya ya Mbinga unaonyesha wako tayari. “Nimevutiwa na umati mkubwa, Mbinga ina historia na mchango wa Watanzania. Amesema mchango huo,…