Author: Jamhuri
Jimbo la Ukonga lapendekezwa kugawanywa na kuunda jimbo jipya la Kivule
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) ikiongozwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila leo Machi 24, 2024 imepokea na kuridhia mapendekezo ya Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya…
Wadau wa korosho kutoka nchi 9 wapatiwa mafunzo ya kuongeza thamani zao hilo
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam ZAO la korosho laendelea kutafutiwa ufumbuzi wa changamoto linaloikabili katika mnyororo mzima wa thamani wa kilimo, mauzo na masoko ili kusaidia kilimo cha zao hilo kinakuwa na tija kwa wakulima kuanzia wadogo,wakati na wakubwa….
EWURA, ERB kushirikiana kuboresha huduma za nishati
ZAMBIA. Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na Bodi ya Udhibiti wa Nishati Zambia (ERB) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimiundombinu ili kuboresha huduma za nishati katika nchi zao. Wakati…
Wanachi Chamwino Dodoma kunufaika na mradi wa maji miji 28
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ujenzi wa Mradi wa Miji 28 Chamwino, Mkoa wa Dodoma unaendelea ambapo visima 8 vitakavyopeleka maji kwenye tanki la kuvunia maji vimekamilika. Kazi inayoendelea kwa sasa ni ujenzi wa matanki mawili ya lita laki mbili…
Mkurugenzi Halmashauri Muheza atoa wito kwa wananchi Kwabada kulipia hati za ardhi
Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Muhez Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mheza, mkoani Tanga Dkt Jumaah Mhina, ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Kwabada walioendeleza mashamba Katika shamba la Lewa na Saguras ambao bado hawajalipia hati zao za ardhi…
Rais Samia ashiriki mkutano wa pamoja SADC na EAC uliofanyika kwa njia ya mtandao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika kwa njia ya…