JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mashambulizi ya RSF yauwa watu watatu Omdurman

Raia watatu wameuawa Jumapili katika shambulizi la makombora lililofanywa na kikosi cha RSF katika eneo la Omdurman karibu na Khartoum, siku mbili tu baada ya jeshi la Sudan kutwaa tena ikulu ya rais katika mji mkuu huo. Raia watatu wameuawa…

Mahakama Korea Kusini yamrejesha madarakani Han Duck-soo

Mahakama ya Katiba nchini Korea Kusini Jumatatu imetupilia mbali uamuzi wa Bunge wa kumuondoa Waziri Mkuu Han Duck-soo, na kumrudisha rasmi katika wadhifa wake kama kaimu rais. Han alishika nafasi hiyo baada ya Rais Yoon Suk Yeol kuondolewa madarakani kutokana…

Dk Samia ametenda maajabu sekta ya nishati miaka minne ya uongozi – Dk Biteko

πŸ“ŒMashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 – JNHPP πŸ“Œ Aitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya Serikali πŸ“Œ Asema kuongezeka kwa mahitaji ya umeme nchini kunachochea ukuaji wa viwanda πŸ“Œ Atoa wito kwa Watanzania kuzingatia matumizi bora ya…

Tafakuri ya Siku ya Ukombozi SADC

Na Lookman Miraji.l Siku ya ukombozi wa nchi kusini mwa Afrika ni miongoni mwa siku muhimu zinazokumbukwa na jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC. Siku hii inabaki kuwa kumbukumbu bora ya kudumu katika mapinduzi ya kisiasa…

Vijiji vitano Mbulu Mjini kunufaika na Mradi wa Maji kupitia Program ya visima 900

Na Mary Margwe, JamhuriMwdia, Mbulu Vijiji vitano vya Gedamar, Qatesh, Landa, Murray na Nahasey katika Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mkoani Manyara vinatarajia kunufaika na Mradi wa Maji kupitia Program ya visima 900 chini ya Wakala wa Maji na Usafi…

Dk. Slaa arejea, awaomba radhi CHADEMA

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Kufuatia mkwaruzano baina ya Dk. Wilbroad Slaa na CHADEMA, mara baada ya kuachiwa huru na Mahakama amesema, kuanzia leo Machi 23, 2025 anaanza kutangaza ‘No reforms, No Election’ (bila mabadiliko hakuna uchaguzi). Slaa alisema hayo…