Author: Jamhuri
Baraza la Mitihani la Tanzania lafuta matokeo kwa wanafunzi 105 wa darasa la nne, 46 Kidato cha Pili
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Mitihani la Tanzania limefuta matokeo yote kwa jumla ya wanafunzi 105 wa darasa la nne na 46 wa kidato cha pili kwa kufanya udanganyifu na kuandika matusi. Aidha Baraza hilo limefungia…
DC Kyobya : Hairuhusiwi kulima, kuchunga ndani ya Pori la Akiba la Kilombero
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kilombero Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi Pori la Akiba Kilombero ambalo ni mahsusi kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu…
Timu za Afrika Mashariki kukutana kisiwani Pemba katika Kombe la Mapinduzi
Michuano ya Kombe la Mapinduzi, inafungua pazia leo visiwani Zanzibar, ambapo Kilimanjaro Stars kutoka Tanzania bara itakutana na timu ya taifa ya Zanzibar Heroes usiku wa leo, katika uwanja wa Gombani kisiwani Pemba. Timu nyingine zitakazoshiriki michuano hiyo ni Burkina…
Afrika Mashariki kukumbwa na ukame
Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Nchi za Jumuiya ya IGAD, kinasema kuwa eneo la Afrika Mashariki litapata hali ya ukame kuliko kawaida kati mwezi wa Januari na Machi 2025. Katika utabiri wake uliotolewa Jumatatu, kinasema Ethiopia, Uganda,…
Urusi yatungua ndege zisizo na rubani 22 za Ukraine
Wizara ya Ulinzi ya Urusi inadai kuwa ndege zisizo na rubani 22 za Ukraine zilidunguliwa katika maeneo sita ya Urusi usiku kucha, ikiwa ni pamoja na yale yaliyo mbali na mipaka ya Ukraine. Ujumbe mfupi kutoka kwenye mitandao ya kijamii…