JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

JAB kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi

Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili Patrick Kipangula amesema mbali na kutekeleza majukumu ya msingi yaliyoainishwa kisheria, bodi hiyo itakuwa na wajibu wa kusimamia Mfumo wa Mafunzo kwa Waandishi wa Habari…

‘Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imeweka bayana msimamo wa kisheria wa Sheria ya Huduma za Habari kuwa kipaji pekee hakitoshi kumfanya mtu afanye kazi za kihabari kama hajapitia katika taaluma ya…

Mabingwa Lina PG Tour 2024 kushuka dimbani kesho, michuano ya gofu Dubai

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI watatu bora wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour 2024 wapo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jijini Dubai kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kimataifa ya Clutch Tour Tier 1 yanayoanza kutimua vumbi…

Ni maono ya Dk Samia wananchi wote wapate umeme -Kapinga

📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme 📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha umeme 📌 Nishati ya umeme yauongezea ufanisi Zahanati ya Mang’oto Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith…

COSTECK imetenga milioni 600 kutekeleza miradi minne ya ubunifu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma TUME ya Taifa ya Sayansi,Teknolojia na Ubunifu(COSTECH)imetenga milioni 600 kwa ajili ya kutekelezwa miradi minne ya usalama wa chakula,ikihusisha udhibiti wa magonjwa ya mazao,uboreshaji wa uhifadhi wa chakula na ubunifu wa vyakula vyenye virutubishi vya hali ya…