JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukraine: Trump anaweza kumaliza vita na Urusi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa kutotabirika kwa Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, kunaweza kusaidia kumaliza vita na Urusi. Trump, ambaye anatarajiwa kuapishwa rasmi Januari 20, aliahidi kuumaliza mzozo huo wa muda mrefu wa takriban miaka mitatu ndani…

Polisi Songwe yakemea kuuza na kunywa pombe za kienyeji muda wa kazi

Polisi Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robert Asumile Kasunga amekemea kitendo cha wananchi wa kijiji hicho kuuza na kunywa Pombe za kienyeji muda wa kazi na badala yake watumie muda huo kujishughulisha…

Zimbabwe yafuta adhabu ya kifo

Mkuu wa Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa Volker Turk, amekaribisha uamuzi wa Zimbabwe wa kufuta hukumu ya kifo na kutoa wito kwa nchi nyingine kuchukua hatua kama hiyo. Mapema wiki hii, Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa…

Mashambulizi ya Israel yawaua watu 26 wakiwemo Polisi Gaza

Mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu wasiopungua 26 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo maafisa wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la polisi linaloongozwa na Hamas. Mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu wasiopungua 26 katika Ukanda wa Gaza,…

Uganda kuzindua awamu ya tatu ya utafiti wa mafuta

Uganda inatarajiwa kuzindua awamu ya tatu ya utoaji leseni ya utafiti wa mafuta katika mwaka wa fedha unaoanza mwezi Julai. Uganda inatarajiwa kuzindua awamu ya tatu ya utoaji leseni ya utafiti wa mafuta katika mwaka wa fedha unaoanza mwezi Julai….

Kwa heri 2024; Kiswahili kimezidi kutandawaa – 2

MAADHIMISHO ya Siku ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU), yalifanyika Julai 7, 2024 nchini Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na duniani kote ambako lugha ya Kiswahili inazungumzwa. Lengo la maadhimisho haya ni kuitikia mwito wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi…