JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Chana amuapisha Kamishna Uhifadhi NCAA, ampa maagizo mazito

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Karatu Waziri wa Maliasili na Utalii ,Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana amemuapisha na kumvisha cheo cha kijeshi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, CC Dkt. Elirehema Joshua Doriye huku akimtaka kuitumia nafasi…

Desemba 31, 2024 mwisho wa matumizi ya mkaa kwa taasisi za Serikali Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam TAASISI zote za Serikali zilizopo katika Mkoa wa Dar es Salaam ambazo  zinahudumia  watu  zaidi ya 100 zimetakiwa kutekeleza bila shuruti  agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kuwa ifikapo Desemba 31,2024, ziache kutumia nishati…

Mvua yasababisha vifo vya watu sita, nyumba zaidi ya 25 zaanguka Same

Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo zimesababisha madhara makubwa ikiwemo vifo vya watu Sita. Mvua hizo hadi kufikia asubuhi ya Desemba 23, mwaka huu pia zimeharibu…

Watu 38 wafariki Congo, wengine wapotea

Watu 38 wamethibitishwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 100 kupotea baada ya Feri iliyokuwa imejaa watu kupinduka kwenye mto Busira Kaskazini – Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo. Katika ajali hiyo ya Feri ambayo ilibeba watu waliokuwa wakirejea…

Trump kuwashughulikia waliobadili jinsia

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amepanga kuwashughulikia watu waliobadili jinsia zao nchini Marekani siku ya kwanza atakapoingia  madarakani. Kauli hiyo ameitoa wakati Warepublican wakiendelea na juhudi zao za kupinga haki za watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja LGBTQ katika…

Watu 94 wamekufa kufuatia kimbunga Chido

Shirika la kukabiliana na majanga nchini Msumbiji limesema kuwa mpaka sasa  idadi ya vifo vilivyotokana na kimbunga Chido vimefikia 94. Wiki moja sasa tangu Kimbunga Chido kutokea na kuishambulia pwani ya Msumbiji na kuathiri maeneo mengi ikiwemo visiwa vya Mayotte….