Author: Jamhuri
Tanzania, Morocco kuongeza ushirikiano sekta ya nishati
๐ Matumizi ya teknolojia kupewa kipaumbele Sekta ya Nishati ๐ Morocco wampongeza Rais Samia kwa usimamizi bora Sekta ya Nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Morocco wamekubaliana…
Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umeme kwenye maeneo ya kimkakati – Kapinga
๐ Maeneo 300 tayari yamefikkwa ๐ Asisitiza gharama ya kuunganisha umeme Vijijini ni shilingi 27,000/- Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo,…
Fedha za CSR za Barrick Bulyanhulu kuendelea kufanikisha miradi ya jamii Nyang’hwale
๐Mgodi kutoa shilingi bilioni 1.07 kwa utekelezaji wa miradi ya mwaka huu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nyangโhwale Uwekezaji wa kampuni ya Barrick nchini yenye ubia Serikali nchini kupitia kampuni ya Twiga unazidi kuleta manufaa kwa wananchi ambapo mgodi wa Barrick…





