JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa

….Alisaidia mahabusu 150 kuachiwa huru……..Alisomesha maelfu kutoka kaya maskini Na Mwandishi Wetu KANISA la Mlima wa Moto la Mikocheni jijini Dar es Salaam, limeendelea kuenzi kazi nzuri zilizokuwa zikifanywa na mwasisi wake Hayati Askofu Dk. Getrude Rwakatare ikiwemo kuombea amani…

Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake

Na Mwandishi Maalum Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limetoa wito kwa Serikali kuwaachilia bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka…

Papa awatakia waumini Pasaka njema

Papa Francis amejitokeza katika Uwanja wa St Peter mjini Vatican kuwatakia “Pasaka Njema” maelfu ya waumini. Papa, 88, alitoka kwa kiti cha magurudumu na kupunga mkono kutoka kwenye roshani ya St Peter Basilica na kushangilia umati wa watu, akisema: “Ndugu…

Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria

Watu wenye silaha wamefanya mauaji ya takriban watu 56 mapema wiki hii katika jimbo la Benue katikati mwa Nigeria, ofisi ya gavana ilisema Jumamosi, ikirekebisha kwa kasi idadi iliyotolewa awali ya watu 17. Viatu vilizosalia vya wanafunzi wa Shule ya…

Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi

Rais Volodymyr Zelenskiy katika Jumapili hii ya Pasaka ametaka Waukraine kutokata tamaa ya kupatikana kwa amani,akisema watarejea katika nchi yao na wavumulie kuishinda nyakati ngumu ya vita iliyodumu kwa siku 1,152. Akiwa amevaa shati la kijivu lenye nakshi ya Kiukraine,…

Askofu Chilongani : Serikali, CHADEMA kaeni meza moja mmalize tofauti zenu

Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani amewaomba viongozi wa Serikali na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakae meza moja wamalize tofauti zao kwa njia ya mazungumzo. Dkt. Chilongani ameyasema hayo leo Aprili 20,2025…