JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kunenge aridhishwa na uwekezaji wa kuunganisha magari Bagamoyo kushirikisha Watanzania

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika . Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana…

Dk Tulia aitaka dunia kukabiliana na vikwazo vinavyokwamisha wanawake

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto…

Wakandarasi walioshinda zabuni wakabidhiwa maeneo ya mradi Bukoba

Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wakandarasi walioshinda zabuni ya kutekeleza miradi ya TACTICS Manispaa ya Bukoba yenye thamani ya Sh bilioni 40, wamekakabidhiwa maeneo ya kutekeleza miradi tarajiwa katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi mapema leo, Mkuu wa…

Dk Biteko atoa wito vyombo vya habari kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa

📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa…

Katibu Mkuu Kiongozi kufungua mafunzo kwa watendaji wakuu taasisi za umma

Na Mwandishi Wetu -OMH Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31,…

Agosti 4 kujulikana ‘mbivu na mbichi’ CCM

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi, udiwani wa kata/ wadi na viti maalumu kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Agosti…