Author: Jamhuri
Serikali ya Austria kufadhili miradi ya umeme Tanzania
📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka. 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa…
NIDA yawasajili wenye mahitaji maalum Temeke
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha Siku ya Utambulisho Duniani, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa huduma maalum ya usajili kwa watu wenye mahitaji maalum katika Halmashauri ya Temeke, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu…
Mkurugenzi Kibaha asikiliza na kutatua kero za wajasiliamali Manispaa ya Kibaha
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, akiambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri, ameendelea na zoezi la kufanya mikutano ya ana kwa ana na wajasiriamali wadogo wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara katika Kata ya…
Wananchi waelimishwa kuchagua mbinu za kisasa za kuvuna asali
Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi…
NCAA kuimasha miundombinu ya maji ndani ya hifadhi
Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro MAMLAKA ya hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya huduma za Uhandisi, inaendelea kuimarisha miundombinu ya maji katika vijiji vya Sendui na Irkeepusi vilivyopo tarafa ya Ngorongoro ikiwa…
Tanzania yazidi kusonga mbele katika mapinduzi ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa, hali inayochochewa na ongezeko la watumiaji wa intaneti, vijana wanaokumbatia teknolojia kwa kasi, pamoja na sera za Serikali zinazohamasisha uvumbuzi katika TEHAMA. Miongoni mwa…