Author: Jamhuri
Usitishaji mapigano wa Urusi waanza kutekelezwa Ukraine
Mpango wa upande mmoja wa kusitisha mapigano uliotangazwa na Moscow umeanza kutekelezwa muda mfupi baada ya saa sita usiku. Usitishaji huo wa mapigano kwa saa 72 unatarajiwa kudumu hadi saa sita usiku Jumamosi kuamkia Jumapili. Rais wa Urusi Vladmir Putin…
Baraza la Habari Kenya lavutiwa na MAIPAC kushirikiana mafunzo kwa wanahabari
Mwandishi wetu, [email protected] Baraza la Habari la Kenya(KMC),limetembelea Ofisi za Taasisi ya wanahabari ya usaidizi wa jamii za pembezoni(MAIPAC) jijini Arusha na kuvutiwa na kazi za Taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana kuwajengea uwezo wanahabari juu ya masuala ya mabadiliko ya…
Makadinali washindwa kumchagua papa mpya duru ya kwanza
Moshi mweusi umetoka kwenye chimni ya Kanisa la Sistine ishara kuwa makadinali wameshindwa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki katika duru yao ya kwanza ya kura ya kongamano lao. Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika katika viwanja vya Mtakatifu Petroย kusubiri…
Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
๐ Awataka wafurukute kuonesha umuhimu wa kadsa yao kwa Taifa ๐ Asema Wizara ya Nishati itashirikiana maafisa hao kusambaza umeme na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ๐ Rais Samia apongezwa kwa kuongeza ajira za maafisa maendeleo ya jamii…
Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
๐ REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya…





