JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ushuru wa Trump unaojumuisha asilimia 104 dhidi ya China waanza kutekelezwa

Rais wa Marekani Donald Trump amesifu hatua yake ya kuziongezea ushuru bidhaa za nchi nyingi duniani zinazoingizwa Marekani akisema ni muhimu kwa maono yake kwa ajili ya Marekani. Kauli yake inakuja wakati akiiongezea maradufu ushuru China wa hadi asilimia 104….

79 wafariki baada ya paa kuporomoka klabuni Jamhuri ya Dominika

Watu 79 wamekufa baada ya paa la klabu moja maarufu ya usiku katika Jamhuri ya Dominika kuporomoka. Miongoni mwa waliokufa katika tukio hilo la usiku wa manane ni mwanasiasa mmoja na mchezaji nyota wa Baseball. Mwanamuziki maarufu wa mtindo wa…

Ulega : Ujenzi madaraja matano hautaathiri mipango ya kudumu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali imefafanua kwamba kazi ya ujenzi wa madaraja matano kwenye barabara Kuu ya Dar es Salaam – Lindi zilikuwa zinaendelea na haitaathiriwa na juhudi za sasa za kukarabati maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko ya mvua katika…

Ongea na Mwanao, mwimbaji wa injili Christina Shusho kushiriki tamasha la mtoko wa Pasaka

Na Magrethy Katengu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao imetangaza kuunga mkono juhudi za mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili, Christina Shusho, katika maandalizi ya tamasha la Mtoko wa Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 20 katika ukumbi…

Waziri Ndumbaro : Ukatili wa kijinsia Tanga ni changamoto kubwa

Na Ashrack Miraji, JamuhuriMedia, Tanga WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amezitaka familia, viongozi wa dini, na uongozi wa Mkoa wa Tanga kuanzisha mikakati madhubuti ya kupambana na ukatili wa kijinsia, ili kukomesha tatizo ambalo limekuwa ni changamoto…

RC Sendiga anavyokabiliana na mgogoro wa ardhi ili kurudisha ekari 1,784 kwa wananchi

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Manyara Unapozungumzia mgogoro wowote wa ardhi hapa unatakiwa kwanza kabisa kujua nini maana halisi ya ardhi ambayo ni sehemu ambayo ipo juu na chini ya uso wa nchi pamoja na mimea inayoota au kupandwa juu yake,…