Author: Jamhuri
Dk Mpango awaagiza wakimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa kifichua ubadhilifu wa fedha za umma bila woga
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amewaagiza Wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa kutekeleza wajibu wao kwa juhudi na nidhamu, huku wakifichua vitendo vyote vya ubadhilifu wa fedha za…
Wataalamu wabobezi katika sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi wakutana nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Wataalamu wabobezi katika sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi wamekutana jijini, katika kongamano la siku moja kwa lengo la kujadili mchango wao katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kongamano hilo limeandaliwa mahsusi…
TPA yazitaka sekta za usafirishaji na uchukuzi kuwa ’ chanda na pete’ ili kukuza uchumi
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam SEKTA za Uchukuzi na Usafirishaji zimetakiwa kufanya kazi kwa kushirikiana ili ziweze kuwa na tija katika kuongeza kasi ya ukuaji uchumi hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Ofisa Masoko Mkuu wa Mamlaka ya…
Uchaguzi, majimbo, TEF 2025
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nimeandika makala kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Nimewaandika wabunge, mmoja wao akiwa Jerry Silaa wa Jimbo la Ukonga, ambaye jimbo lake lina matatizo mengi kuliko umri…
Miaka mitatu filamu ya ‘Royal Tour’ … Maji, umeme kupandishwa Mlima Kilimanjaro
*Huduma za uokoaji zaimarishwa kukidhi idadi kubwa ya wageni Na MwandishinWetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) imejiwekea mikakati ya kuboresha huduma kwa wageni wa ndani na nje; JAMHURI linaripoti. Idadi ya watalii wanaopanda mlima huu mrefu…
Wakili :CCM Inawatengenezea Polisi kwenda motoni
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Iringa Wakili Msomi na Mwenyekiti wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Deogratius Mahinyila amedai, Chama cha Mapinduzi (CCM) kinawatengenezea Polisi njia kwenda motoni. Mahinyila alisema hayo mwishoni mwa wiki kwenye ziara ya Chadema…





