JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania, Misri kushirikiana kukuza sekta ya utalii

Na Happiness Shayo-, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika kukuza na kuendeleza utalii baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamejiri leo Februari…

Teknolojia mawimbi ya sauti kutumika upasuaji ubongo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia kuanza kufanya upasuaji wa ubongo kwa kutumia mawimbi ya sauti. Hatua hiyo inaifanya hospitali hiyo kuwa ya kwanza kwa nchi Kusini mwa Jangwa…

Biteko aipongeza EWURA kuleta utulivu kwenye nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kwa usimamizi thabiti wa huduma za nishati na maji nchini ambao ameeleza kuwa…

‘Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeamua kuwafikia wananchi walipo’

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amezindua Kamati ya Ushauri wa Kisheria ya Mkoa wa Mwanza tarehe 17 Februari 2025 na kufuatiwa na Kliniki ya Sheria bila malipo kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza inayoanza Februari 17 hadi 23,…

Chana ateta na sekretariet ya Mkataba wa Lusaka wa kukabiliana na ujangili

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Sekretarieti ya Mkataba wa Kikanda wa Lusaka (Lusaka Agreement Taskforce-LATF) wa kukabiliana na ujangili na biashara…