Author: Jamhuri
Trump apiga marufuku wanamichezo wa kike waliobadili jinsia kushindana mashindano ya wanawake
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalozuia wanawake waliobadili jinsia kushindana katika michezo ya wanawake. “Kuanzia sasa, michezo ya wanawake itakuwa ya wanawake tu,” Trump alisema, akizungukwa na wanariadha wanawake na wasichana kabla ya kusaini agizo hilo huko…
Amuua mpenzi wake, naye ajiua kwa kujinyonga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Adamu Kailanga (30), mfanyabiashara na Mkazi wa Mtaa wa Mkudi wilayani Ilemela mkoani Mwanza, anadaiwa kumuua mpenzi wake aitwaye Benadeta Silvester, (21), kwa kumkaba koo kisha naye kujiua kwa kujinyonga na mtandio. Hivyo Jeshi la…
Prince Rahim Al-Hussaini ateuliwa kuwa Aga Khan mpya
Prince Rahim Al-Hussaini ametangazwa kuwa Aga Khan mpya, kiongozi wa kiroho wa mamilioni ya Waislamu wa madhehebu ya Shia ya Ismailia. Atachukua nafasi hiyo kutoka kwa babake Prince Karim Aga Khan, aliyefariki Jumanne akiwa na umri wa miaka 88. Uteuzi…
NCT yaendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa astashahada
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) kimeendesha mafunzo jumuishi kwa vitendo kwa wanafunzi wa Astashahada na Stashada, kuonesha kwa vitendo kile walichojifunza katika muhula wa kwanza wa masomo. Akizungumza katika hafla fupi wakati…
LHRC yashinda kesi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu leo imetoa hukumu ya mashauri saba yaliyowasilishwa mahakamani hapo kwa nyakati tofauti mojawapo likiwa shauri kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) pamoja na…
TMA,EMEDO waongeza nguvu usambazaji taarifa za hali ya hewa ziwa Victoria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira na Maendeleo ya Kiuchumi…