Author: Jamhuri
Rais Samia, Dk. Nchimbi njia nyeupe Ikulu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Haijapata kutokea. Haya ni maneno aliyopenda kuyatumia aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Magharibi (CCM), Theodos James Kasapira. Nikiri nilipopewa mwaliko wa kuja hapa Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM, niliifahamu ajenda moja ya msingi ya…
Sakata la Abdul, Nimemkumbuka Ridhiwan Kikwete
Na Kambi Mbwana, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani nchini, leo kinafanya uchaguzi wa viongozi wao. Katika uchaguzi huu, nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake zimekuwa na joto kali. Wanaowania…
Kitima ana biashara gani CHADEMA?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na mgombea wa nafasi ya uenyekiti ndani ya chama hicho, Tundu Lissu, wakati wa mchakato wa kampeni zake amebainisha kuwapo kwa watumishi wa Mungu…
Mkuu wa Majeshi Israel ajiuzulu
MKUU wa jeshi la Israel Meja jenerali Herzi Halevi amejiuzulu, kutokana na kushindwa kuzuia uvamizi wa kundi la wanamgambo la Kipalestina la Hamas uliofanyika Oktoba 7 mwaka 2023. Katika barua yake ya kujiuzulu Halevi amesema sababu kubwa iliyomfanya kujiuzulu kushindwa…
Majaliwa : Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwa TMA
▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya…