JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hospitali ya Benjamin Mkapa yapiga hatua kwenye huduma za kibingwa, ubingwa wa juu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMediaDodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)imesema kwa kutumia falsafa ya 4Rs (Reforms, Rebuilding, Reconciliation na Resilience,), imepanua huduma za kibingwa kutoka 14 hadi 20 na huduma za ubingwa wa juu kutoka 7 hadi 16. Hayo yameelezwa leo Machi…

Papa Francis akumbwa na tatizo la kushindwa kupumua mara mbili

PAPA Francis yuko macho baada ya kukumbwa na matukio mawili ya ‘kushindwa kupumua’ siku ya Jumatatu alasiri, imesema Vatican. Madaktari walilazimika kuingilia kati ili kuondoa kamasi kwenye mapafu ya Papa, imesema taarifa kutoka serikali kuu ya Vatican ya Holy See,…

Kampeni ya msaada wa kisheria yapigilia msumali sheria na utatuzi wa migogoro ya ardhi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Ofisa Ardhi Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, Baltazar Mitti, ameeleza kuwa kero nyingi za migogoro ya ardhi zinatokana na wananchi kutokuwa na uelewa wa kisheria, hali inayosababisha kutapeliwa au kudhulumiwa. Akitoa elimu kuhusu Sheria ya…

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, Wizara ya Nishati yajivunia kulinda haki, usawa

📌 Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake 📌 Kapinga asema lengo ni kuboresha ustawi wa mwanamke na kuongeza thamani yake. Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025, yenye kaulimbiu “Wanawake…

Wasira atoboa siri

*Asema CHADEMA walionyesha ubinafsi bila kujali masilahi ya Watanzania wote *Walitaka wao na CCM pekee washirikiane kuandika Katiba mpya *Asema â€˜No reforms, no election’ ni ndoto na kinyume cha Katiba, sheria za nchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwedia, Dar es Salaam Hatimaye siri…

Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia mzozo wake na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki iliyopita, amesema afisa wa Ikulu ya White House. “Rais Trump amekuwa wazi kuwa anataka amani. Tunataka pia washirika…