JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mchezaji wa gofu wa klabu ya Gymkhana aibuka bingwa michuano ya Lina PG Tour

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa gofu wa kulipwa kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam, Fadhili Nkya ameibuka bingwa katika michuano ya Lina PG Tour yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Gymkhana, Morogoro jana. Michuano hiyo…

Makamu wa Rais afungua kongamano la wanawake Kanda ya Magharibi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Watanzania kukemea vitendo vya ukatili ulioshamiri dhidi ya wanawake na watoto na kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa dhidi ya wahusika. Makamu wa Rais ametoa wito…

Uingereza yatangaza ‘muungano’ wa kushirikiana na Ukraine kumaliza vita na kuilinda

Uingereza, Ufaransa, na mataifa mengine yataongoza muungano huu, na watajaribu kuhusisha Marekani ili kupata msaada kwa Ukraine, alisema Starmer. Huu ni baada ya mkutano wa kilele wa viongozi 18, wengi wao wakitoka Ulaya, wakiwemo Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ambaye…

Trump akifanya Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani

Rais Donald Trump ameweka saini agizo linalotangaza Kiingereza kuwa lugha rasmi ya Marekani, hatua inayobatilisha sera ya awali iliyoanzishwa na Rais Bill Clinton mwaka 2000. Sera hiyo ilihitaji mashirika ya serikali kutoa msaada kwa watu wasiozungumza Kiingereza. Hii ni mara…

Ripoti maalum kuhusu mwenendo wa mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Uhispania

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni siku chache tu tangu ilipotimia miaka 58 ya mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Hispainia. Historia inatueleza kuwa mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi mbili za Tanzania na Uhispania yaliasisiwa…

Papa Francis atoa wito wa amani na kusuluhishwa kwa mizozo

Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki mbili kwa ugonjwa wa maambukizi ya mapafu amewashukuru leo waumini wa kanisa katoliki kote duniani kwa msaada na kumuonesha upendo. Kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini…