Author: Jamhuri
Waliotuhumiwa kuingilia mfumo ya mawasiliano wasomewa mashtaka 120
Watuhumiwa 20 wa makosa ya kuingilia mifumo ya mawasiliano wamefikishwa Mahakamani jana jioni katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha huku wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi yanayojumuisha makosa 120 ikiwemo Utakatishaji wa Fedha. Akisoma mashtaka katika kesi namba 30977 ya…
Madiwani Malinyi washauriwa kuwa mfano ya kutoa hamasa wananchi kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Malinyi MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wametakiwa kuwa mfano katika kutoa hamasa kwa wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala wa…
Fahamu kombora jipya la Korea Kaskazini linaloipa tumbo joto Marekani
Korea Kaskazini imezindua kombora jipya la masafa marefu ambalo ukubwa wake umeshangaza hata wachambuzi wa masuala ya silaha ya nchi hiyo. Mtaalam wa masuala ya ulinzi Melissa Hanham anaelezea kombora hilo ni nini na kwanini ni tishio kwa Marekani na…
Baraza la Afya ya Akili kuanzishwa nchini
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili Nchini litakalosimamia muundo utakaoratibu Sekta mbalimbali za kitaaluma na kiutendaji ili kushugulikia ufanisi wa suala la afya ya akili. Majaliwa amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma…