Author: Jamhuri
Urusi yaapa kulipiza kisasi baada ya mashambulizi ya Ukraine
Urusi imeapa siku ya Jumamosi kulipiza kisasi baada ya kuishutumu Ukraine kushambulia eneo la mpakani la Belgorod kwa kuvurumisha makombora ya masafa marefu ya ATACMS yaliyotolewa na Marekani. “Hatua hizi za serikali ya Kyiv, ambayo inaungwa mkono na washirika wa…
Mtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za sikukuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Mwanafunzi wa darasa la tatu katika kijiji cha Uruwila Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi amejinyonga kwa kutumia sweta lake alipokuwa amelala chumbani kwake. Akitoa taarifa ya tukio hilo Januari 3, 2025 Kamanda wa Polisi…
Rais Mstaafu Kikwete apongeza maendeleo Zanzibar
Na Mwandishi wetu RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amepongeza kasi ya maendeleo inayoshuhudiwa visiwani chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein…
Viongozi wa dini nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati waishukuru JWTZ
Umoja wa viongozi wa madhehebu ya dini nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wameonesha imani kubwa ya ulinzi wa amani unaotolewa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nchini humu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mara baada ya kutembelewa na…
Waziri Ulega kuwapima mameneja kwa uwezo wa kutatua changamoto wakati wa dharura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema atawapima mameneja wa Wakala wa barabara nchini (TANROADS ), kwa uwezo wa kutatua changamoto wakati wa dharura ili kuhakikisha barabara zote nchini zinapitika wakati wote. Ameyasema hayo leo wakati…
Baraza la Mitihani la Tanzania lafuta matokeo kwa wanafunzi 105 wa darasa la nne, 46 Kidato cha Pili
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Mitihani la Tanzania limefuta matokeo yote kwa jumla ya wanafunzi 105 wa darasa la nne na 46 wa kidato cha pili kwa kufanya udanganyifu na kuandika matusi. Aidha Baraza hilo limefungia…