Author: Jamhuri
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
Idadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachia mateka. Wizara ya Afya ya Gaza imesema watu 81 wameuawa katika kipindi cha saa…
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linaendesha zoezi la kufanya mapitio ya rasimu ya kanuni za majenzi (Building Codes) na maoni yaliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) kuhusu kanuni hizo. Zoezi hili la wiki mbili…
Trump atafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa Tik Tok
Rais mteule wa Marekani Donald Trump atatafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa TikTok kabla ya marufuku dhidi ya programu hiyo kuanza kutekelezwa wikendi hii, mshauri wake ajaye kuhusu usalama wa taifa amesema. Mbunge Mike Waltz wa Florida, alisema Trump ataingilia…
Serikali kuanzisha mfuko wa nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali inaendelea na ukamilishaji wa taratibu za kuanzisha Mfuko wa Nishati safi ya kupikia ili kuweka ruzuku itakayowawezesha wananchi wa kipato cha chini kumudu bei ya gesi. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…
Rais Azali: Comoro kushirikiana na Tanzania katika sekta ya kimkakati
Na Mwandishi Wetu Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Visiwa vya Comoro Mheshimiwa Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazumgumzo na Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro Mheshimiwa Azali Assoumani tarehe 16 Januari, 2025, Ikulumjini Moroni. …





