JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya mashujaa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maelfu ya Watanzania katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika leo tarehe 25 Julai, 2025 katika Uwanja wa Mnara wa Mashujaa,…

Mradi wa Sequip kuongeza kiwango cha ufaulu Singida – RC Dendego

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wananchi wametakiwa kushirikiana na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kulimda miundombinu ya shule iliyojengwa ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi mkoani Singida. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa…

Rais Samia mgeni uzinduzi mradi wa uchimbaji madini ya Uranium Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji wa madini ya Uranium yaliyopo katika Kijiji cha Mkuju wilayani Namtumbo Mkoa wa…

Kunenge aridhishwa na uwekezaji wa kuunganisha magari Bagamoyo kushirikisha Watanzania

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika . Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana…

Dk Tulia aitaka dunia kukabiliana na vikwazo vinavyokwamisha wanawake

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto…

Wakandarasi walioshinda zabuni wakabidhiwa maeneo ya mradi Bukoba

Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wakandarasi walioshinda zabuni ya kutekeleza miradi ya TACTICS Manispaa ya Bukoba yenye thamani ya Sh bilioni 40, wamekakabidhiwa maeneo ya kutekeleza miradi tarajiwa katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi mapema leo, Mkuu wa…