Author: Jamhuri
Sakata la Yusuph Kagoma lafika pabaya
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UONGOZI wa klabu ya Yanga umetoa maombi matatu kwa kamati ya TFF ya maadili na hadhi ya wachezaji kufuatia sakata la mchezaji wao Yusuph Kagoma ambaye anaendelea kucheza klabu ya Simba kinyume na…
CHADEMA kuandamana Septemba 23
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Freeeman Mbowe amewataka viongozi wa CHADEMA wa mikoa yote nchini kujipanga kuja Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki maandamano yanayotarajia kufanya Septemba 23,…
Serikali yavuna Trilioni 1.8 kupitia sekta ya uziduaji nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imepata jumla ya shilingi Trilion 1.877 kutoka kwenye kampuni 44 zilizolinganishwa katika sekta ya madini, mafuta na gesi ikiwa na tofauti ya kati ya malipo na mapato ya shilingi milioni 402.41 kwa…
DC Nyasa : Usimamizi mbovu umechangia Halmashauri Nyasa kushindwa kufikia malengo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa MKUU wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Peres Magiri amesema kuwa ,usimamizi mbovu wa vyanzo vya mapato kutoka kwa baadhi ya wataalam na watendaji wa vijiji na kata umesababisha Halmashauri hiyo kushindwa kufikia malengo ya…
TMA yasisitiza umuhimu matumizi ya huduma za hali ya hewa kwa wadau wa ununuzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa elimu kwa wadau mbalilmbali wa Ununuzi kuhusu matumizi sahihi ya huduma za hali ya hewa pamoja na kuchangia gharama za upatikanaji wa huduma hizo katika utekelezaji wa…
Wanaume kutoka jamii ya Kimasai watetea maslahi ya wanawake
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kwa miongo kadhaa wanawake kutoka jamii za pembezoni ikiwemo ya kimaasai wamekuwa hawapewi kipaumbele kwenye masuala mengi kama elimu, uongozi na kiuchumi. Kutokana na changamoto hizo, serikali kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali ya…