JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mgeja: Elimu ya amani, uzalendo na mazingira ifundishwe shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama MWENYEKITI wa Tanzania Mzalendo Foundation Bw. Khamis Mgeja ameishauri na kuiomba wizara ya elimu nchini ifikilie kuona umuhimu namna gani ya kuweza kuanzisha masomo ya aman, Uzalendo na mazingira mashuleni kuanzia madarasa ya awali mpaka…

Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Kadhalika katika kongamano la Amani la…

Wadau wakutana kujadili nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WADAU kutoka serikalini, mashirika ya kiraia na wakulima wamekutana mkoani Morogoro kujadiliana kuhusu nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa (AfCFTA). Akifungua mkutano huo Mratibu wa Mtandao wa Baionuai…

Chalamila amkabidhi mjane Alice Haule hati ya nyumba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemkabidhi hati ya umiliki wa nyumba Mjane wa Marehemu Justus Rugaibura, Alice Haule, baada ya Tume maalum ya Serikali kubaini kuwa yeye ndiye mmiliki…