Author: Jamhuri
Bagamoyo sasa ni Halmashauri ya Mji, Serikali kumwaga bilioni 1
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, ametangaza rasmi kupandishwa hadhi kwa Halmashauri ya Bagamoyo na kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Tamko hilo…
Watumishi wa afya waaswa kuhudumiwa wananchi kwa upendo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, amewataka wataalamu wa sekta ya afya nchini kufanya kazi kwa weledi, kusikiliza wananchi na kuwahudumia kwa moyo…
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD wahitimishwa jijini Yokohama
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya…
Wazazi wahimizwa kuwatibu watoto ugonjwa wa mafindofindo kuwaepusha na magonjwa ya valvu za moyo
Wazazi wamehimizwa kuwatibu watoto wanaopata ugonjwa wa mafindofindo (tonsillitis) kuwaepusha na hatari ya kupata magonjwa ya valvu za moyo. Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete wakati wa kambi maaluumu ya…
JKCI kudhibiti vifo vya ghafla vya shambulio la moyo kwa wanamichezo
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetia saini ya makubaliano ya ushirikiano na Chama Cha Madaktari wa Moyo cha nchini Misri kuanzisha huduma za upimaji na matibabu ya magonjwa ya shambulio la moyo kwa wanamichezo ili kuzuia vifo vya…
JOWUTA yakutana na Waziri Ridhiwani, Kamishna wa Kazi kujadili changamoto za wanahabari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) wamekutana na Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, pamoja na Kamishna wa Kazi, Suzan Mkangwa, kujadili changamoto zinazowakabili wanahabari nchini,…