JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Zanzibar yazindua mradi wa OCP School Lab Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Programu ya OCP School Lab (OSL) rasmi ilizindua mpango wake wa kisasa wa upimaji wa udongo wa simu leo katika hafla yenye nguvu iliyofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip. Chini ya mada, “Napima afya ya…

Menejimenti AUWSA yaimwagia sifa TUICO, ni kwa kutoa mafunzo kwa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MENEJIMENTI ya Mamlaka ya Maji Safi na usafi wa mazingira Mkoa wa Arusha (AUWSA), imepongeza chama cha wafanyakazi wa viwanda, biashara, taasisi za fedha, huduma na ushauri (TUICO) Mkoa wa Arusha, kwa uamuzi wake wa kutoa…

Mtoto ajinyonga baada ya kuiga maudhui ya chaneli ya KIX Arusha

Na Mwandishi Wetu, Arusha Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Imani na mkazi wa Kata ya Osunyai, Jijini Arusha, aitwaye Karim Rahim (9), amefariki dunia kwa madai ya kujinyonga kwa kutumia kipisi cha kitambaa cha dela, baada…

Polepole ni sikio la kufa…

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Mwaka jana niliposikia tetesi kwamba kuna kundi linaamini Rais Samia Suluhu Hassan anapaswa kuongoza kipindi kimoja na kuishia mwaka 2025, sikuzipa uzito. Niliwaza kuwa huenda ni zile kamati za fitina ndani ya vyama vya siasa,…

Tanesco yaandika historia ajira mpya

📍Waajiriwa wapya 555 wapata ajira kwa mara moja 📍Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO afungua rasmi mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao Na: Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeandika historia kwa kuajiri watumishi wapya 555 kwa mara moja, hayo…

NEC yatoa agizo wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia aheria na kanuni zilizowekwa

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi, wasimamizi wasaidizi ngazi ya Jimbo , na maofisa ununuzi kutenga sehemu ya muda wao kwa kusoma katiba ,Sheria…