JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Musuguli afariki dunia

Jenerali Musugiri ambaye amewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amefariki dunia leo Oktoba 29, 2024 jijini Mwanza alikokuwa akitibiwa. Mazishi yanatarajiwa kufanyika nyumbani kwake, Butiama mkoani Mara. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu, Jenerali…

Bashungwa atoa agizo kwa Katibu Mkuu, TEMESA kupiga kambi Mafia kurejesha huduma ya kivuko

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Baada ya Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, kukamilisha ziara maalum mkoani amechukua hatua ya haraka kwa kumpigia simu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour, pamoja na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa…

TMA yajivunia ushirika na wanahabari, yatoa tuzo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwdia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari amewapongeza waandishi wa habari kwa kuhamasika, kuandika kwa umahiri na weledi kisha kusambaza taarifa za hali ya hewa. Jaji…

Mwanasiasa wa upinzani Malawi atuhumiwa kupanga njama ya kumuua rais

Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Malawi ameshtakiwa kwa kupanga njama ya kumuua Rais wa nchi hiyo, Lazarus Chakwera. Patricia Kaliati, Katibu Mkuu wa chama cha UTM, alikamatwa wiki iliyopita kwa tuhuma za “kula njama na wengine kutenda kosa kubwa”….

Iran yamnyonga mpinzani raia wa Ujerumani

Iran imemnyonga mpinzani wa Ujerumani na Iran Jamshid Sharmahd, baada ya kukutwa na hatia ya “kuongoza operesheni za kigaidi”, vyombo vya habari vya serikali vinaripoti. Sharmahd alihukumiwa kifo mwaka jana baada ya kushutumiwa kwa kuongoza kundi la wafuasi wa kifalme…

Tanzania, Urusi kushirikiana kuendeleza utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekubaliana kushirikiana na Nchi ya Urusi katika kukuza na kuendeleza Sekta ya Utalii. Hayo yamebainika usiku wa Oktoba 28,2024 katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na…