Author: Jamhuri
FCC, TCRA kufanya uchunguzi wa bando
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, amesema taasisi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) hiyo inafanya uchunguzi wa vifurushi vya mtandao (internet) ili kubaini kama wananchi wanarubuniwa katika gharama na…
Waajiri wafurahishwa kuanzishwa mfumo wa Taifa wa kielektroniki wa soko la ajira
Na. OWM – KAM (Dar es salaam) Waajiri kutoka Sekta Binafsi wamefurahishwa na kuipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Wazifri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kuanzisha Mfumo wa Taifa wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS) wakieleza…
Prof. Shemdoe aipongeza Manispaa ya Temeke kwa mpango mkakati wa miaka
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kuandaa Mpango Mkakati wa Maendeleo wa miaka kumi ijayo, akisema ni hatua muhimu…
China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati
China imejitolea kuwa mpatanishi kwenye mzozo wa sasa wa Mashariki ya Kati baada ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusababisha vita kusambaa kote kwenye eneo hilo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya China imesema kwenye taarifa yake…
ECOWAS yaunda kikosi kupambana na ugaidi
Mataifa ya Afrika Magharibi yameamua kuunda kikosi cha wanajeshi 2,000 kukabiliana na makundi ya itikadi kali yanayozidi kuwa kitisho katika eneo hilo. Afisa mmoja mkuu wa jeshi wa Nigeria aliliambia shirika la habari la AFP kwamba maamuzi kuhusu kikosi hicho…





