Author: Jamhuri
NEC yatoa agizo wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia aheria na kanuni zilizowekwa
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi, wasimamizi wasaidizi ngazi ya Jimbo , na maofisa ununuzi kutenga sehemu ya muda wao kwa kusoma katiba ,Sheria…
Naibu Waziri Kipanga ajivunia Sequip ilivyoboresha elimu ya sekondari Mafia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mafia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) umetajwa kuwa nguzo ya muhimu Wilayani Mafia katika Mkoa wa Pwani kwenye eneo la sekta ya elimu kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi…
Waziri Mkuu awasili nchini Belarus kwa ziara ya kikazi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) amewasili jijini Minsk, Belarus kwa ziara ya kikazi ya siku nne kuanzia tarehe 21 hadi 24 Julai 2024. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa nchi hiyo, Mhe….
Papa Leo aonya kuhusu ‘matumizi ya nguvu kiholela’ huko Gaza
Papa Leo alionya dhidi ya “matumizi ya nguvu kiholela” na “uhamisho wa kulazimishwa wa watu” wa Gaza katika mazungumzo ya simu na Rais wa Palestina Mahmoud Abbas siku ya Jumatatu, kulingana na taarifa kutoka Vatican. Papa pia alisisitiza haja ya…
Serikali yatoa bilioni 298 kugharamia matibabu ya Kifua Kikuu, UKIMWI na Malaria nchini
Na WAF, Dodoma Serikali ya Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2024/25 na 2025/26 imetoa jumla ya Dola Milioni 114 sawa na Shilingi Bilioni 298 za kitanzania kuongeza manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha zilizokuwa zikitumika kupambana na…