JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Himahima tujitokeze kwa wingi kupiga kura – Kapinga

📌 Afunga kwa kishindo Kampeni za CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mbinga 📌 Asema CCM ni tumaini la Watanzania; Ipate kura za Ndiyo 📌 Akumbusha kuwa miradi ya maendeleo iliyopo ni kielelezo cha viongozi makini wa CCM Mbunge wa…

Geita msiniangushe, msiiangushe CCM – Dk Biteko

📌Awahimiza Wananchi Kupiga Kura Kesho, Kuchagua CCM 📌 Awapongeza kwa Kampeni za Zakistaarabu 📌 Ataka Siasa Ziwe Daraja la Kuunganisha na Kushindanisha Mawazo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Wananchi Pwani wapigieni kura wagombe wa CCM ni chaguo sahihi – Abdulla

Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amehitimisha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mkoa wa Pwani na kuwaasa wananchi kuwapigia kura wagombea wanaotokea…

Yanga wakandwa na aL Hilal kwa Mkapa

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar e Dalaam Klabu ya Yanga imepoteza mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi mbele ya AL Hilal ya Sudan kwa mabao 2-0. Yanga imepoteza mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika katika uwanja wa Benjamin…

Balozi Nchimbi awasili kufunga kampeni za Serikali za Mitaa Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo tarehe 26 Novemba 2024, akiwasili katika Viwanja vya Kwamnyani, Mbagala wilayani Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ajili ya kufunga rasmi kampeni za Serikali za Mitaa…