Author: Jamhuri
Pinda ‘awafunda’ wabunge Rukwa
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mratibu wa Kampeni Kanda za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Magharibi na Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amewafunda na kuwataka wagombea ubunge wa Mkoa wa Rukwa kuacha tofauti zao walizonazo. Pinda ametoa kauli…
TANESCO yaanzisha mpango wa kukopesha majiko sanifu ya umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa Baadhi ya wananchi mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuanzisha mpango wa kuwakopesha majiko sanifu yenye presha, ambayo yanatumia umeme kwa ufanisi mkubwa na…
Mwigulu alivyomwaga nondo mkutano Samia Sumbawanga mjini
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amefuta tozo na kodi zaidi ya 200. Mwigulu ametoa kauli…
Auawa na mfuniko wa mtungi wa gesi ya kuzimia moto Bagamoyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mwanamke mmoja aitwaye Mengi Waziri (25), mkulima na mkazi wa Masiwa, Kata ya Dunda, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, amefariki dunia baada ya kugongwa kichwani na mfuniko wa mtungi wa gesi ya kuzimia moto uliolipuka…
Rukwa na shamrashamra ya kumpokea Dk Samia
Baada ya mikutano mikubwa iliyofanyika katika maeneo ya Mpanda, Kibaoni na Namanyere (Nkasi), leo ni zamu ya Sumbawanga mjini, ambapo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya…
Mitadi ya kimkakati ya TANROADS inaufungua Mkoa wa Songwe – Eng Bishanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo upanuzi wa barabara kuu ya TANZAM kipande cha Igawa – Tunduma (Km 218) na Ujenzi wa…





