JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Taasisi ya Revive kutoa matibabu ya Physiotherapy bure Septemba 6 na 7 Bure

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Katika kuunga Mkono Jamii suala la Afya Taasisi ya Rivaivu(Revive) iliopo jijini Dar s Salaam jirani na Hospitali ya Ocean Road inatarajia kuadhimisha siku ya kimataifa ya matibabu ya Physiotherapy kutoa huduma za matibabu…

EACOP, BBN wafadhili Mafunzo ya Ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN) imetoa ufadhili wa mafunzo stadi kwa wakazi 12 wa Kata ya Chongoleani panapojengwa miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta…

Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Bw….

Putin: Niko tayari kukutana na Zelensky mjini Moscow

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky mjini Moscow. Pia ameapa kuendelea kupigana na Ukraine kama makubaliano ya amani hayatofikiwa. Pia Putin ameapa kuendelea kupigana na Ukraine kama makubaliano ya amani hayatofikiwa….

Trump: Marekani huenda ikafuta makubaliano na Ulaya

Rais Donald Trump amesema Marekani huenda ikalazimika kufuta makubaliano ya kibiashara iliyoingia na Umoja wa Ulaya, Japan, Korea Kusini na wengine, iwapo itashindwa katika kesi yake kuhusu uhalali wa ushuru. Akizungumza na waandishi wa habari mwanzoni mwa mkutano na Rais…

RPC Morcase awataka waandishi wa habari kuzingatia miiko na maadili

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, amewataka waandishi wa habari mkoani humo kuzingatia weledi, miiko na kanuni za taaluma ya uandishi wa habari wanapotekeleza majukumu yao, hususan katika kipindi…