JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Msajili Hazina aipa tano TPA

Na Mwandishi wa OMH, Tanga Msajili wa Hazina Bw. Nehemiah Mchechu ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) hususan Bandari ya Tanga kwa ufanisi mzuri wa kukusanya mapato makubwa ikiwa ni matokeo ya kukamilika kwa mradi wa maboresho katika…

Kafulila: Tanzania inaweza kufikia uchumi wa dola trilioni 1 endapo tutabadilika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam TANZANIA ni kati ya nchi ambayo imebarikiwa kwa kuwa na utajiri mkubwa si wa mali pekee pia umetokana na jinsi Watanzania walivyo ukilinganisha na nchi nyingine. Hayo yamebainishwa na David Kafulila mbaye ni Mkurugenzi…

Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…

Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano

Kauli ya Rais Volodymyr Zelensky kwamba Rais Vladimir Putin hana nia ya kushiriki katika mazungumzo ya kusitisha mapigano amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Ukraine mwaka 2022. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema haoni dalili yoyote…