JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wakulima wadogo zaidi ya 747 kunufaika na mradi wa umwagiliaji Geita

NIRC – Geita Zaidi ya wananchi 747 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa uchimbaji visima vya Umwagiliaji 36 unaotekelezwa katika kijiji cha Mwilima Mkoani Geita, ambapo visima hivyo vitamwagilia zaidi ya ekari 1440 katika vijiji 32, lengo ikiwa ni kuongeza uzalishaji…

Vijana 50 wapatiwa elimu ya mpiga kura

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya vijana 50 kutoka vyuo vikuu na sekta mbalimbali wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi na kuchagua viongozi bora watakaoliongoza taifa kwa amani na…

Dk Mpango : Makumbusho ya kisasa ya Ngorongoro kukuza utalii wa kihistoria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Karatu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Makumbusho ya Urithi wa Kijiolojia ya Ngorongoro–Lengai, yaliyogharimu zaidi ya Sh. bilioni 35 ambayo yanatarajiwa kuongeza kasi ya ukuaji wa utalii…

Serikali itaendelea kufanya mageuzi sekta ya kilimo – Majaliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula katika ukanda wa Afrika Mashariki. Amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuimarisha usalama wa chakula,…

Serikali yaendelea kuwezesha wananchi kupata hati milki za ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata hati milki za ardhi ili kuongeza kasi ya umilikishaji katika maeneo mbalimbali nchini. Uwezeshaji huo unafanyika kupitia mazoezi ya urasimishaji makazi…

Serikali yaahidi sheria rafiki kwa wawekezaji kufanikisha Dira 2050

Na Mwandishi wa OMH, Kibaha Serikali imeeleza dhamira yake ya kutengeneza sheria rafiki za uwekezaji zitakazoiwezesha kufikia uchumi wa kati wa juu kama ilivyobainishwa kwenye Dira 2050. Moja ya shabaha za Dira 2050 ni kuchochea ukuaji wa Pato la Taifa…