JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali kugharamia mazishi waliofariki ajali ya mgodi wa Nyandolwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, salamu za pole kufuatia ajali ya kufukiwa kwa mafundi katika Mgodi wa…

Dk Biteko ataka watumishi wa Wizara ya Nishati na taasisi zake kuwa mfano matumizi ya nishati safi ya kupikia

๐Ÿ“Œ Lengo ni kutekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia kwa vitendo ๐Ÿ“ŒMatumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yapaa kutoka asilimia 6 hadi 20.3 ๐Ÿ“Œ Agawa majiko yanayotumia umeme kidogo kwa Watumishi wa Wizara ya Nishati na REA ๐Ÿ“Œ Apongeza…

DCP Stella afunga mafunzo ya uwekaji alama silaha na utunzaji taarifa

Mkuu wa Kitengo cha kushughulikia Makosa dhidi ya Binadamu, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Stella Mtabihirwa leo Agosti 22, 2025 amefunga mafunzo ya uwekaji alama silaha na utunzaji wa taarifa kwa Askari Polisi Jijini Dodoma, Mafunzo ambayo yalikuwa yakiendeshwa na…

Ndala apinga uhalali wa Mpina kugombea urais ACT-Wazalendo, atinga ofisi za msajili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darves Salaam Leo tarehe 22 Agosti 2025, Monalisa Joseph Ndala, mwanachama wa ACT-Wazalendo na Katibu Mwenezi wa ACT-Wazalendo (Mkoa wa Dar es Salaam) ambaye pia ni Naibu Waziri Kivuli wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, amewasilisha malalamiko…

Mkuu wa Wilaya Nyasa afunga mafunzo ya Jeshi la Akiba

-Asisitiza nidhamu, weledi, uzalendo-Awataka wananchi kuwa raia wema. Na Byarugaba Innocent, Nyasa DC Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Peres Magiri leo Agosti 22, 2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi Aprili 9,2025 yakiwa na Wanafunzi 16. Mkufunzi Mkuu…