Author: Jamhuri
Umoja wa Mataifa wataka mkataba wa amani Gaza uwe wa kudumu
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeyataka makubaliano ya kusitisha vita Gaza yawe ya kudumu. Baraza hilo vile vile limeikosoa hatua ya Israel ya kutanua udhibiti wake katika Ukingo wa Magharibi kama kitisho kwa juhudi za kupatikana kwa suluhisho…
CCT yapongeza juhudi za Serikali kujenga mahusiano
Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kukuza ari ya Mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia kuleta utengamano na mshikamano wa kidugu. Hatua hiyo imekuja kupitia kikao kazi cha Waziri wa…
Akwilapo aongoza kikao cha kutatua changamoto za mashamba ya uwekezaji Muheza
Na Munir Shemweta, WANMM MUHEZA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Leonard Akwilapo amewaongoza Mawaziri wenzake wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji…
EACOP yakabidhi karakana na vifaa vya mafunzo katika chuo cha Don Bosco Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi jengo la kisasa la karakana ya uchomeleaji pamoja na vifaa vya mafunzo kwa Chuo cha Ufundi Stadi cha Don Bosco jijini Dar es…
Washiriki Wizara na Taasisi wapigwa msasa kuhusu mfumo wa NLMIS
Na OWM-KAM Dodoma Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano imewapiga msasa washiriki kutoka katika wizara pamoja na Taasisi za Serikali kuhusu Mfumo wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS). Aidha, mafunzo hayo yalilenga kuwapatia uwezo katika…
Mwigulu awataka wananchi Same kutunza miundombinu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi wa Same kutunza miundombinu inayojengwa na Serikali kwa manufaa yao. Amesema hayo alipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Same- Ndungu- Mkomazi km 105, sehemu Mkomazi -Ndungu…





