JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali Awamu ya Sita kinara utoaji wa fedha za ruzuku kwenye kilimo – Bashe

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kinara katika ukanda wa Kusini mwa Afrika kwa kutoa fedha nyingi za ruzuku katika sekta ya kilimo cha mazao mbalimbali ya…

Taasisi za habari zatakiwa kushirikiana na Bunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya J⁸ukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Joseph Kulangwa, ametoa mwito kwa taasisi za habari kuimarisha ushirikiano na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuhakikisha upatikanaji wa sheria bora…

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Sengerema

▪️Mradi wa ujenzi wa mgodi kugharimu Trillioni 1.4 ▪️Dhahabu ya kwanza kuanza kuzalishwa robo ya kwanza ya Mwaka 2027 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira bora ya uwekezaji ▪️Mgodi kuzalisha Ajira na mapato kwa serikali Kampuni ya Perseus ya Nchini Australia…

Wazazi watakiwa kuwatengenezea mazingira bora ya elimu watoto wao

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa wazazi wana jukumu la kuwaendeleza watoto wao kwa kuwapatia elimu bora na kuwafundisha stadi za maisha. Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mwalimu Irene Muthemba wakati wa…