Author: Jamhuri
Dk Mpango atembelea banda la Gazeti la Jamhuri katika Mkutano wa Mabaraza Huru ya Habari Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kuhusu habari za uchunguzi kutoka kwa Mhariri Mtendaji na Mkurugenzi wa Gazeti la Jamhuri Bw. Deodatus Balile wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Mkutano wa…
Waziri Jafo afanya mazungumzo na wanachama wa CTI
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darces Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amepanga kukutana na wazalishaji wote wa saruji nchini hivi karubuni ili kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam baada ya kukutana…
Dk Mpango aipongeza TANAPA kwa kuvitangaza vituo vya utalii ndani na nje
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa jitihada kubwa za kulinda maliasili na kuvitangaza vivutio vyake vya utalii ndani na nje ya nchi na kuiheshimisha nchi…
Taifa kukamilisha mwelekeo wa Maendeleo, Dira ya 2025 kukamilika Julai 17, mwaka huu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tanzania imefikia hatua muhimu ya kupanga mustakabali wake wa muda mrefu baada ya kukamilika kwa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, ambayo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….
TCU yafungua dirisha la udahili kwa waombaji Shahada ya kwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Akizungumza na waandishi wa habaru leo Julai 15, 2025 jijini…
Madini, Bomba la Mafuta na bandari vyageuza Tanga kuwa kitovu cha maendeleo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Sekta ya madini imeendelea kuwa kichocheo kipya cha maendeleo kwa Mkoa wa Tanga, ambapo wananchi katika maeneo mbalimbali wameanza kunufaika na shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Kupitia usimamizi madhubuti wa Serikali ya Awamu…