JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Urusi yaishambulia Ukraine kwa zaidi ya droni 100

Jeshi la anga la Ukraine limesema, vikosi vya Urusi viliishambulia nchi hiyo usiku kucha huku milio ya mabomu ikisikika pia katika maeneo mengine ya nchi. Zaidi ya droni 100 zilionekana zikiruka sehemu tofauti za nchi, huku jeshi la anga likijaribu…

CUF yaahidi kutoa matibabu na elimu bure 

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Chama cha Wananchi CUF, kimesema endapo kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi kitahakisha kinatoa huduma ya matibabu bure kwa wananchi wote katika hospitali za Serikali. Pamoja na kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya awali mpaka chuo…

Balozi Nchimbi aanza kampeni Mara

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kijijini Mwitongo,Butiama na kuzuru kaburi la mwasisi huyo wa Tanzania na CCM. Dkt.Nchimbi ameingia mkoani…

Utunzaji sahihi wa nyaraka na kumbukumbu ni msingi wa taifa imara – Majaliwa

UTUNZAJI sahihi wa nyaraka na kumbukumbu ni uti wa mgongo wa uwajibikaji, historia, na utawala bora kwani bila masjala madhubuti, Taifa letu lingeweza kukabiliwa na changamoto kubwa za upotevu wa taarifa, ucheleweshaji wa maamuzi, na hatimaye kurudisha nyuma juhudi za…

Majaji, mahakimu tuna wajibu wa kudumisha amani : Jaji Mkuu

Na Mary Gwera , Mahakama-Dodoma Mahakama ya Tanzania ina nafasi kubwa ya kuhakikisha kuwa, nchi inakuwa katika hali ya amani na utulivu kwa kusimamia ipasavyo jukumu la utoaji haki kwa kuzingatia Katiba na Sheria za nchi. Hayo yalielezwa jana tarehe…

Waajiriwa wapya NIRC wasema wana deni kwa Rais Samia, Tume yawataka kuchapa kazi

📍 NIRC – Dodoma WATUMISHI wapya wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, (NIRC), wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwaamini na kuwapa nafasi nyingi vijana katika ajira za hivi karibuni. Pia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imewataka waajiriwa…