JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mahakama kutoa uamuzi wa hoja za mawakili wa Jamhuri na utetezi kesi ya Tundu Lissu Mei 6

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutoa uamuzi wa hoja za Mawakili wa Jamhuri na Mawakili wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,…

Kihouthi: Shambulio la Marekani limewaua wahamiaji 68 Yemen

Waasi wa Kihouthi wa nchini Yemen wamesema shambulio la anga lililofanywa na Marekani lililokilenga kituo kinachowashikilia wahamiaji kutoka Afrika limewauwa watu 68. Kamandi kuu ya Marekani haijazungumzia tukio hilo. Taarifa ya Wahouthi iliyotolewa mapema Jumatatu , imesema kando ya watu…

Dk Biteko awasilisha bungeni Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/ 2026

📌 Yagusa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa asilimia 96.5 📌 Upatikanaji umeme wa uhakika. Nishati Safi ya Kupikia, Uendelezaji Gesi Asilia; Baadhi ya vipaumbele vya Bajeti 📌 JNHPP, Usambazaji Umeme Vijijini na Ufikishaji Gridi Kigoma; Baadhi ya mafanikio Bajeti…

Makamu wa Rais akizungumza na Balozi Nchimbi mara baada ya kuwasili nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini…