JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…

Tanzania kusimamia mkondo wa Pemba na ikolojia ya bahari kujenga uchumi wa bluu imara

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha usimamizi endelevu wa mkondo wa Pemba pamoja na ikolojia ya baharini kwa ujumla. Amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa pembezoni uliyohusu…

Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…

Sanaa, umeme, mawasiliano zaongoza ukuaji wa sekta 2024, kilimo, ujenzi na madini zatajwa msingi wa Pato la Taifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetaja sekta tano zilizoongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi nchini mwaka 2024 kuwa ni sanaa na burudani, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme, habari na mawasiliano, pamoja na fedha na bima na afya. Akizungumza…

CHAUMA :Kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu na kufichua kuwa kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo. Rai hiyo imetolewa jana na Katibu Mkuu wa…