Author: Jamhuri
KilupiI: Ataka kura za maoni zisiwagawe wanaCCM
Na Is-haka Omar,Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kilupi,amesema zoezi la kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi lisiwagawe wanachama badala yake wawaunge mkono wagombea watakaopitishwa na vikao vya maamuzi. Ushauri huo…
Dk Mpango afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa India
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya India Mhe. Sanjay Seth, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katika Mazungumzo hayo, Makamu…
ATC Wazalendo : Malengo yetu hayawezi kutimia bila kushriki na kushinda chaguzi
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amefungua mafunzo ya viongozi wa majimbo ya Kanda ya Kati mjini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo Aprili 12, 2025 jijini humo, Ado amewaeleza viongozi wa majimbo yote 25 ya mikoa ya Dodoma, Manyara…
Tutaendelea kudhibiti uhalifu wa kifedha – Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu wa kifedha na imejidhatiti katika kudhibiti hali hiyo kwa viwango vya kimataifa…
Viongozi wa dunia walaani shambulio la Urusi Ukraine
VIONGOZI wa dunia wamelaani shambulizi la makombora la Uris dhidi ya Ukraine siku ya Jumapili, moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika miezi kadhaa, huku Rais wa Marekani Donald Trump akiliita “jambo baya” na “kosa.” Viongozi wa dunia wamelaani vikali Urusi…
JWTZ lasaidia huduma tiba na afya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limechangia huduma tiba na afya kwenye hospitali ya Jiji la Berberati iliyoko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati tarehe 14 Aprili mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya uchangiaji wa huduma hizo kwa niaba…