Author: Jamhuri
Waziri Mkuu aiagiza TANTRADE kufanya tafiti ya masoko ndani na nje ya nchi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili kuongeza mauzo yatakayowezesha nchi kupata fedha za Kigeni. Amesema kuwa TanTrade inapaswa kufanya tafiti za uhakika na uchambuzi wa masoko…
Dk Mwamba ahamasisha wanawake kuwa mabalozi wa mabadiliko
Na Josephine Majura, WF, Dodoma Wanawake wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kushiriki na kupiga kura katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kifanyika mwezi Oktoba mwaka huu ili kutimiza haki yao ya kidemokrasia. Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya…
Serikali yashusha neema Mara, bil. 5.7 kutumika kwa ujenzi wa shule ya wasichana na amali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili mkoani Mara ambazo ni shule ya Sekondari ya Wasichana Mara…
Rais Samia amlilia Rais wa zamani Nigeria Muhammadu Bahari
Rais Samia amesikitishwa sana kusikia taarifa za kifo cha Rais wa zamani wa Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria, Mheshimiwa Muhammadu Buhari. Kwa mujibu wa tarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa wake wa Instagram amesema kwa niaba ya Serikali na wananchi wa Jamhuri…
Nandy ahamasika kutangaza nembo ya Made in Tanzania Kimataifa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga (Nandy), amesema elimu aliyoipata katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) imefungua macho yake kuhusu umuhimu wa kutumia nembo…