Author: Jamhuri
Mkurugenzi wa TANESCO Gissima Nyamo-Hanga afariki dunia kwa ajali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (TANESCO) Gissima Nyamo-Hanga amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13,2025 kwa ajali iliyotokea Wilayani Bunda Mkoani Mara Mkuu wa Mkoa wa Mara Evansi Mtambi amethibitisha kutokea…
Mkuu Kamandi ya Jeshi la Wanamaji apokea meli vita ya Jesi la India
Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Rear Admiral Ameir Ramadhan Hassan amefanya mapokezi ya Meli Vita aina ya INS SAGAR OPV ya Jeshi la India leo tarehe 12 Aprili 2025 katika Bandari ya Dar es Salaam. Mapokezi ya Meli…
Wabunge waipongeza Serikali kufanikisha ukarabati soko la Kariakoo
Wabunge wameipogeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kufanikisha ujenzi na ukarabati wa soko la Kariakoo ambalo limeboreshwa na kuwa na viwango vya kimataifa. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na…
TPHPA yasaini makubaliano kuendeleza mashirikiano na taasisi ya KEM
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MAMLAKA ya afya ya mimea na viatilifu Tanzania (TPHPA) kwa kushirikiana na Taasisi ya udhibiti wa kemikali ya nchini Sweden(KEM) wamesaini hati ya makubaliano ya kuendeleza mashirikiano ya pamoja katika utendaji kazi zao . Aidha…
Chama cha Mawakili wa Serikali kukutana Dodoma Aprili 14
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Chama Cha Mawakili wa Serikali Tanzania Deus Shayo amesema Chama hicho kinatarajia kufanya Mkutano wake Mkuu Aprili 14 hadi 15 mwaka huu Jijini Dodoma huku akiwataja zaidi ya Wanachama 2000 kuwa wanaweza kushiriki mkutano huo….