Author: Jamhuri
Mwakyembe, Chambo wasitishwe
BAADHI ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamemwandikia barua Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu, Balozi Ombeni Sefue wakidai kuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe anafanya kazi kwa kutumia majungu anayopelekewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Omar Chambo.
Yah: Nguvu ya maji yaja, mtaua wangapi?
Wanangu, ka-jua ka leo kananikumbusha mandhari ya miaka mingi kabla Tanganyika haijaanza kuwa jangwa la kutisha na kushindwa kuhimili hali ya ukame na wakati mwingine kukosa maji ambayo yanasababisha hadi tukose umeme na kusababisha kuyumba kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi.
Kikwete polisi wanaanza kuyeyusha heshima uliyojijengea
Mwaka 2008 nilibahatika kuwa mmoja wa watu waliopata fursa ya kusafiri na Rais Jakaya Kikwete kwenda jijini Washington, Marekani. Safari hii ilikuwa ikihusiana na mambo mbalimbali lakini kubwa ni kushawishi Serikali ya Marekani kuridhia Mpango wa Millennia Challenge Cooperation (Account) – MCC.
Waziri Mgimwa ahimiza ufanisi PPF
Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, amehimiza utendani makini utakaongeza ufanisi katika Mfuko wa Pensheni za Mashirika ya Umma (PPF) nchini.
Elimu ya Tanzania vipi?
Baada ya matokeo ya mitihani ya darasa la VII ya mwaka 2011 kutangazwa, kumetokea tashtiti kubwa katika nchi hii. Kule kutangazwa kwamba wanafunzi 5,200 hawajui kusoma wala kuandika, lakini wamo miongoni mwa watoto 567,567 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu, kumewashangaza wengi. Naona kama ni jambo fulani la kisanii!
Sumaye, Nagu katika vita kali
*Muhtasari wa kikao wachakachuliwa, jina la Dk. Nagu laingizwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, kinakabiliwa na mpasuko unaosababishwa na uhasama ulioibuka kati ya Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye.
- Wananchi Stand ya zamani Kondoa mjini wakishiriki upigaji kura
- RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi
- Balozi Dkt. Nchimbi ashiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais, mbunge na diwani
- Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani
- Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
Habari mpya
- Wananchi Stand ya zamani Kondoa mjini wakishiriki upigaji kura
- RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi
- Balozi Dkt. Nchimbi ashiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais, mbunge na diwani
- Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani
- Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
- Dkt. Mpango ashiriki zoezi la kupiga kura
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya mikoa
- Dk Samia : Serikali imefanya mageuzi makubwa ya kisheria na kurejesha imani kwa sekta binafsi
- Serikali yaihakikishia CWP uchaguzi huru, haki na wazi
- ‘Dk Samia anastahili kura za ndio’
- Siku 100 za Bima ya Afya kwa wote
- Wasira asema Samia ameweka utaratibu Serikali,vyama vya siasa kuteta
- Kwa nini Watanzania watajitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura?
- Nchimbi: Watanzania wameridhika na utendaji wa Rais Samia
- Kamati ya siasa amani Pwani yaviasa vyama vya siasa visiwe chanzo cha vurugu