Category: Sitanii
Gwajima ni sikio la kufa…
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nimesoma habari na kusikiliza matamko kwenye mitandoa ya kijamii. Nimemsikiliza askofu Josephat Gwajima. Kwanza niwape pole wakaazi wa Jimbo la Kawe. Nazifahamu ahadi alizozitoa kwao Askofu Gwajima. Mara Japan, Birmingham, magreda,…
CCM ni jiwe kuu la pembeni
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Leo naandika makala hii baada ya kutoka kanisani. Imenifikirisha nikiwa kanisani, hasa baada ya kukomunika katika kipindi cha ukimya, nikajiuiza hii habari ya CCM kuzindua Ilani yake ya 2025 – 2030 niandikeje? Nikajiuliza mafanikio makubwa…
Sera mpya ni ufunguo wa maendeleo
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salam Mwezi huu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi Sera Mpya ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2024. Kwa mtu anayechukulia diplomasia kama kazi ya mabalozi tu, anaweza asione uzito wa…
Padri Dk. Kitima, Mdude: Tunakoelekea siko
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia,Dar es Salaam Wiki iliyopita imekuwa na matukio makuu matatu. Mawili ni ya kusikitisha, na moja ni la faraja kwa watumishi wa umma wa taifa hili kuongezewa mshahara. Nalazimika kuyachanganya matukio haya, maana safu hii hutoka mara…
Ukomo usiishie viti maalum pekee
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Machi 11, 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa taarifa ya mabadiliko yaliyofanywa na Halmashauri Kuu ya CCM Machi 10, 2025. Mabadiliko yaliyotangazwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wapiga kura za wagombea katika…
Trump anamaliza vita duniani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Januari 14, 2025 niliandika makala yenye kichwa cha habari: “Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu.” Naomba kujinukuu japo aya chache katika makala hiyo. “Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa…