Category: Sitanii
Rais Samia umeandika historia, jipe moyo
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita ameweka historia nyingine na kuanza safari ya historia ya kudumu kuelekea kupatikana kwa Rais wa Tanzania mwanamke aliyechaguliwa. Agosti 9,…
Polepole, Mpina, Makamba… hawakumfahamu Rais Samia
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Leo tumechapisha toleo maalumu. Toleo hili ni la watia nia waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yapo majina makubwa yaliyoachwa kama Mbunge wa Bumbuli, January Makamba; Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na wengine wengi. Lakini…
Wapigakura mchague maendeleo, si rushwa
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanzisha rasmi mchakato wa uchaguzi katika ngazi ya wabunge na madiwani kwa kuteua majina ya wanachama wake watakaopiga goti mbele ya wajumbe kuomba kura. Mchujo utakaofanyika wiki ijayo unalenga kupata…
Wagombea mtegemeeni Mungu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Arusha Wiki iliyokwisha nimeitumia kusikiliza upepo wa siasa unavyokwenda hapa nchini. Kwa hakika kugombea iwe ubunge au udiwani ni kazi kwelikweli. Wagombea simu zao zinapokewa kila zikiita na kila ujumbe wanaujibu. Sitaki kuamini kuwa teknolojia ya…
Bajeti ya kujitegemea ni mwelekeo sahihi Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Wiki iliyopita serikali imeleta furaha, matumaini na heshima kwa taifa letu. Nasema furaha, heshima na matumaini kwa nchi yetu si kwa jambo jingine, bali bajeti ya mwaka 2025/2026 iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dk….
Gwajima ni sikio la kufa…
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nimesoma habari na kusikiliza matamko kwenye mitandoa ya kijamii. Nimemsikiliza askofu Josephat Gwajima. Kwanza niwape pole wakaazi wa Jimbo la Kawe. Nazifahamu ahadi alizozitoa kwao Askofu Gwajima. Mara Japan, Birmingham, magreda,…