JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Kuna maisha baada ya uchaguzi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Ndugu zangu Watanzania, taifa letu linaelekea katika moja ya hatua muhimu za kidemokrasia – Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025. Hii ni siku ambayo wananchi tutatumia kalamu na karatasi…

La elimu, Rais Samia anaunganisha Watanzania

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kigoma Kampeni zinaelekea ukingoni. Tumeshuhudia mikikimikiki ya vyama vinavyoshiriki. Tumeshuhudia mikutano ya hadhara. Idadi ya watu wanaoshiriki kwenye mikutano inatosha kukwambia kuwa Watanzania wana matumaini na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan….

Uchaguzi mmeukataa, mnautamani, mkoje?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ndugu zangu Watanzania, leo nataka kuandika mada ngumu kidogo. Niseme wazi tu kuwa nimefanya kazi hii ya uandishi kwa miaka 32 sasa. Nimeuona, nimeuandika, na nimeuishi uchaguzi. Nimeshuhudia mabadiliko mengi tangu uchaguzi wa…

Kura yako, mustakabali wa taifa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni safari ndefu iliyohusisha maandalizi ya daftari la wapiga kura, uteuzi wa wagombea, kampeni na hatimaye upigaji kura. Kila hatua inabeba uzito wake, lakini kilele cha safari…

Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Johannesburg Nipo hapa jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini nikiendelea na mkutano unaojadili uchumi wa vyombo vya habari chini ya taasisi ya CTRL+J. Mkutano huu unaangalia mwenendo wa mapato, teknolojia ya habari na mitandao ya kijamii vinavyoathiri…

Rais Samia umeandika historia, jipe moyo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita ameweka historia nyingine na kuanza safari ya historia ya kudumu kuelekea kupatikana kwa Rais wa Tanzania mwanamke aliyechaguliwa. Agosti 9,…