Category: Sitanii
Maridhiano yaanze, tusisubiri milango ya mahakama
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siasa kuna wakati taifa linapaswa kujua tofauti kati ya kutafuta haki na kutafuta suluhu. Wakati mwingine njia ya mahakama ni muhimu pale panapokuwa na tuhuma za uhalifu, lakini pia kuna nyakati ambapo…
Ziara ya Samia Urusi yafufua sera ya kutofungamana
Na Deodatus Balile, Moscow, Russia Wiki iliyopita, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kiserikali katika Shirikisho la Urusi kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026. Ziara hiyo imekuja miaka 57 baada ya ziara rasmi ya mwisho ya viongozi wakuu wa…
Tusijipime ubavu na Wamarekani, tuzungumze
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Ukiona simba anakuangalia, usianze kupambana naye kwa hasira; kwanza jiulize kwa nini amesimama mbele yako.” Leo Tanzania imejikuta katika hali ambayo Seneti ya Marekani imewasilisha muswada unaopendekeza mapitio…
Tuichangie Hospitali Benjamin Mkapa iokoe maisha
* Control Numbe ni 986930000001 itasomeka BMH ORGAN TRANSPLANT. Mimi nimechangia Sh 100,000 imekubali. Nawe changia unachokiweza. Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna nyakati taifa hulazimika kusimama na kujiuliza; je, tunathamini vya kutosha taasisi zinazookoa maisha ya wananchi wake?…
Tusiiache njia ya maridhiano
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Kilimanjaro, kushiriki mazishi ya Baba Mzazi wa Ndugu yetu, kijana na rafiki yetu, Neville Meena, mzee Mwalimu Meena. Baba huyu ametutoka na Mungu amlaze mahala pema peponi….
Z’bar waliweza, Tanzania hatutashindwa
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 23, 2026 nchi yetu imepokea taarifa za kusitikisha mno kupitia ripoti iliyowasilishwa na Jaji Mkuu (mstaafu), Mohamed Chande Othman ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na…





