Category: Gazeti Letu
DC Same awaonya viongozi wanaotengeneza migogoro ya ardhi
Mkuu wa wilaya ya same Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji dhidi ya tabia iliojikita kwa baadhi yao kutengeneza migogoro hasa ya ardhi ikiwa ni sehemu ya kujipatia kipato. Kasilda amesema amebaini maeneo mengi yenye migogoro imetengenezwa na…
Jamii yashauriwa kuepuka vitu vinavyosababisha magonjwa ya moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila Dkt. Fabian Kamana ametoa rai kwa jamii kupunguza matumizi ya mafuta, chumvi, sukari, tumbaku na pombe kwa wingi kwa kuwa vyote hivi husababisha mtu kupata…





