JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Majaliwa:Kuna Watanzania wachache wasiokuwa na nia njema na mbolea

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuwa walinzi wa mbolea ya ruzuku iliyotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha inatumika kwa malengo yaliyokusudiwa ya kuongeza uzalishaji wa mazao katika msimu wa 2022/2023 litimie. Amesema kuwa kumekuwa na Watanzania…

Padri auawa kwa kupigwa risasi

Watu wasiofahamika wakiwa na silala wamemuua kwa kumpiga risasi padri Padri Isaac Achi wa Kanisa la Katoliki nchini Nigeria. Kasisi huyo ameuawa katika parokia yake kaskazini mwa Nigeria, kisha kuchoma moto kanisa katika kijiji cha Kafin Koro . Mwili wa…