JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

RC Kunenga akagua uwekezaji wa uzalishaji sukari Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Rufiji Serikali mkoani Pwani,imewaasa wananchi wa Kata ya Chemchem ,Utete wilayani Rufiji Mkoani Pwani kupeana ushirikiano pamoja na mwekezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji Sukari Lake Agro sugar estates ,ambae anatarajia kutoa ajira zaidi ya 3,000 na…

Gazeti la JAMHURI laibuka kinara tena ubora wa maudhui 2022

Gazeti la JAMHURI linalochapishwa na kusambazwa siku ya Jumanne kila wiki nchini na nchi jirani Afrika Mashariki, limeongoza dhidi ya vyombo vingine vyote vya habari Tanzania Bara na Zanzibar vilivyohusishwa kwenye utafiti wa ubora wa maudhui kwa vyombo vya habari…