JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Masauni:Siridhishwi na kasi ya Polisi kushughulikia migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ruvuma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amelitaka Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma kuwakamata wafugaji wanaoingiza mifugo katika mashamba ya wakulima na kuwachukulia hatua za kisheria.  Amesema haridhishwa na kasi ya jeshi hilo katika…

Simba yarejea kileleni kibabe

Timu ya Simba SC imerejea Kileleni Kibabe baada ya Kuizamisha mabao 4-0 Timu ya Ruvu Shooting Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Baada ya kukaa mechi nyingi bila kufunga bao Mshambuliaji…

Utata ‘mauaji’ ya kijana Arusha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arusha Wistone Massawe amefariki dunia jijini Arusha baada ya kuchomwa kwa kitu chenye ncha kali, ikidaiwa ni wakati alipotoka ndani ya ukumbi wa disko kwenda maliwatoni. Kwa mujibu wa familia yake, mauti yalimkuta Wistone saa 10 alfajiri ya…